2 Samuel 23:2-3


2 a“Roho wa Bwana alinena kupitia kwangu,
neno lake lilikuwa ulimini mwangu.

3 bMungu wa Israeli alinena,
mwamba wa Israeli akaniambia:
‘Mtu anatawala watu kwa haki,
wakati anapotawala
akiwa na hofu ya Mungu,
Copyright information for SwhKC